Waziri Jafo atoa tamko kuhusu bima ya wanachi
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo, ameiagiza Wizara yake kuhakikisha wataalam wa Sekta ya maendeleo ya jamii, wanapewa jukumu la kusimamia kazi ya Bima ya Afya ya Jamii (CHF), iliyoboreshwa katika ngazi ya Mkoa na Halmashauri kwa kuwa ndiyo

