Shule ya sekondari yajengwa kwa Bil 2.6 miaka 7

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanale akiwa na wengine katika shule ya Sekondari ya Sokoine Memorial.

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanale amesema serikali itaanza kuchunguza matumizi ya fedha zaidi ya bilioni mbili na milioni mia sita zilizotumika katika mradi wa shule ya Sekondari ya Sokoine Memorial baada ya kushangazwa na mradi kutokamilika licha ya kuanza kujengwa kwa miaka 7.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS