'Sisi mlitaka kutuua na wengine muwauwe' - Lugola

Waziri Kangi Lugola (kushoto) akimhoji dereva wa moja ya basi alilolikamata.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola ameyakamata magari mawili moja basi la abiria, na lori yaliyotaka kusababisha ajali kwa kufukuzana na kuovateki bila ya kuwa na tahadhari katika barabara kuu ya Mwanza Mara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS