Jafo atoa ujumbe kwa wananchi kuelekea uchaguzi

Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo

Wananchi waliojiandikisha kupiga kura katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa, wametakiwa kutumia turufu ya kura yao kuchagua viongozi wenye weledi watakaoshiriki kuwaletea maendeleo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS