Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe akirejesha fomu za kuwania Uenyekiti wa chama hicho kwa Katibu wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini..
Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu amesema atagombea Makamu Mwenyekiti wa chama hicho katika Uchaguzi unaoendelea kufanyika hivi sasa ndani ya chama hicho.