Wale wapenda Vigodoro waambiwa kujitafakari
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, amezitaka jamii zinazoendekeza mila na desturi, zinazochangia kwa kiasi kikubwa ongezeko la maambukizi mapya ya Virusi vya Ukimwi, zikiwemo Vigodoro na Chagulaga kujitafakari.