Baba amuua mwanaye kwa kumchoma moto makalioni Picha ya moto Jeshi la polisi mkoani Kagera linamshikilia Juma Daniel, mkazi wa Kijiji cha Kazingati kata ya Keza wilayani Ngara, kwa tuhuma za kumuua mtoto wake wa kumzaa, mwenye umri wa miaka miwili. Read more about Baba amuua mwanaye kwa kumchoma moto makalioni