Baba amuua mwanaye kwa kumchoma moto makalioni

Picha ya moto

Jeshi la polisi mkoani Kagera linamshikilia Juma Daniel, mkazi wa Kijiji cha Kazingati kata ya Keza wilayani Ngara, kwa tuhuma za kumuua mtoto wake wa kumzaa, mwenye umri wa miaka miwili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS