Mchezaji aweka rekodi ya kucheza kwa miongo minne

Vince Carter

Mcheza kikapu Vince Carter anayekipiga katika timu ya Atlanta Hawks inayoshiriki ligi ya NBA, ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza katika historia ya ligi hiyo kucheza kwa miongo (decade) minne.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS