Mbabe wa Madrid aongezewa mkataba Barcelona

Kocha wa Barcelona Hansi Flick

Kocha Hansi Flick anatarajia kusaini mkataba mpya Barcelona hadi Juni 2027. Flick amefanya mapinduzi makubwa Barcelona tangu alipowasili majira ya joto yaliyopita ikiwemo kuchukua ubingwa Super Cup Spain na Copa del Rey kufuatia kufukuzwa kwa Xavi Hernandez.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS