Askari waliomfyatulia risasa muuza barakoa Kenya

Askari wawili waliomfyatulia risasi muuza barako Kenya

Maafisa wawili wa polisi waliomshambulia na mmoja wao kumfyatulia risasi kijana aliyekuwa anauza barakoa siku ya maandamano ya kupinga mauaji ya kijana Albert Ojwang aliyefia mikononi mwa polisi nchini Kenya, wataendelea kuzuiliwa na polisi kwa siku 15 zaidi huku uchunguzi ukiendelea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS