Wawili watangaza kujitoa Kings Music ya Alikiba

Kushoto ni msanii Killy, kulia ni Cheed akiwa na Alikiba

Katika hali isiyotarajiwa wasanii wa wawili kutoka lebo ya Kings Music Records ya msanii Alikiba, wametangaza kujitoa ndani ya lebo hiyo, na kuamua kufanya kazi zao binafsi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS