Wawili watangaza kujitoa Kings Music ya Alikiba Kushoto ni msanii Killy, kulia ni Cheed akiwa na Alikiba Katika hali isiyotarajiwa wasanii wa wawili kutoka lebo ya Kings Music Records ya msanii Alikiba, wametangaza kujitoa ndani ya lebo hiyo, na kuamua kufanya kazi zao binafsi. Read more about Wawili watangaza kujitoa Kings Music ya Alikiba