DC azungumzia wanaokusanyika kuchapwa Bakora Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Daniel Chongolo. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Daniel Chongolo kupitia kipindi cha SupaBreakfast amesema hajazuia wamiliki kufungua Baa zao, bali alichozuia ni watu kujaa kwenye baa. Read more about DC azungumzia wanaokusanyika kuchapwa Bakora