Njombe: Mganga ajinyonga kwa kukiuka masharti

Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe, Hamis Issah

Katika hali isiyo ya kawaida mkazi mmoja wa mkoani Njombe aliyetambulika kwa jina la Kaido Mfilinga (30) aliedaiwa kuwa ni mganga wa kienyeji, amekutwa akiwa amejinyonga na kuacha ujumbe wa maandishi wa kuomba msamaha kwa mizimu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS