Killy na Cheed wafunguka sababu za kutoka Kings

Kushoto ni Alikiba na Cheed, kulia Killy na Alikiba

Wasanii Killy na Cheed ambao wamejitoa katika lebo ya Kings Music Records ambayo ipo chini ya msanii Alikiba wamesema sababu ya kujitoa kwenye menejimenti hiyo ni ushauri waliopewa kutoka kwa wazazi wao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS