Kanisa lazuia viongozi kusafiri kuepuka Corona

Virusi vya Corona

Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania (S.D.A), limetangaza marufuku kwa viongozi wake wakiwamo maaskofu na wachungaji, kutokusafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine ndani ya nchi, ili kuepuka maambukizi ya COVID 19.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS