Kuhusu ligi kuchezwa kituo 1,klabu yamuomba Waziri
Mchezo wa Ruvu Shooting dhidi ya Simba
Baadhi ya klabu za Ligi Kuu Tanzania bara zimeonekana kulalamikia gharama zitakazojitokeza pindi ligi itakapoendelea kwa kuchezwa katika kituo kimoja cha Dar es Salaam.