BONDIA MTANZANIA APIGWA 'TKO' NCHINI KAZAKHSTAN

Bondia Abedi Zugo

Bondia Abedi Zugo amepigwa kwa TKO katika pambano liliofanyika usiku wa jana kuamkia  katika raundi ya tatu kutoka kwa bondia Bekman Soilybaev wa Kazakhstan kwenye pambano la raundi  12 na kushindwa kuendelea kupigana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS