TARA walia uchache wa wahudumu wa radiolojia

Raisi TARA akihutubia katika kongamano lililofanyika Arusha hii leo

Chama cha wataalamu wa kusoma mionzi ya tiba ijulikanayo kama Radiolojia (TARA) nchini kupitia raisi wake Bakari Msongawanja ameiomba serikali kuongeza vituo vya Afya vyenye ubora pamoja na wataalamu wa kusoma mionzi hiyo ili kuweza kurahisisha utoaji wa huduma hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS