Balozi wa Afrika Kusiniakutwa amefariki hotelini

Mke wa Balozi huyo aliripoti kutoweka kwake baada ya kupokea ujumbe wa simu kutoka kwa mumewe ambao ulimtia wasiwasi, gazeti la Le Parisien limeripoti. Simu yake ilitafutwa hadi Bois de Boulogne lakini yeye hakupatikana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS