Wawili wafariki mgodini, uokoaji waendelea

Zoezi la kuwaokoa watu waliofukiwa na kifusi katika mgodi wa Dhahabu Nyandolwa kata ya Mwenge Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga linaendelea huku ikidaiwa kuwa bado watu wawili wakifariki dunia na wengine  20 bado wamekwama ardhini 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS