Serikali kujenga mtandao mkubwa wa mabomba ya gesi

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko alipokutana na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Rashal Energies,  Farhiya Warsame,

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amekutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Rashal Energies,  Farhiya Warsame, inayojenga bomba la gesi kutoka Kisemvule hadi Mbagala (kilomita 19) jijini Dar es Salaam. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS