Wananchi Busanda waomba kuboreshewa huduma za afya Mganga mfawidhi kituo cha Afya Bukoli Simoni Mlyabuso amesema matarajio yao baada ya hapa ni kuhakikisha wanafanya maboresho ya kituo hicho pamoja na ujenzi wa Chumba cha kuifadhia maiti. Read more about Wananchi Busanda waomba kuboreshewa huduma za afya