Mpina, Ferej kurudisha fomu ya urais INEC Sept. 7

Kwa mujibu wa hukumu ya Mahakama kupitia kwa Jaji Jaji Abdi Kagomba, zuio lililowekwa katika shauri Na. 21692/2025, INEC Agosti 27, 2025, kuhusu kesi ya Mpina kurejesha fomu ya urais, lilikuwa kinyume cha sheria na Katiba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS