Mapigano yawakimbiza raia mashariki mwa DRC Mapema jana wakazi katika jiji hilo, lililoko kati ya milima na Ziwa Tanganyika, walikuwa wakitoroka makazi yao, huku wakazi, wanajeshi, maafisa wa polisi, na wafanyakazi wa utawala wakikimbia tishio hilo. Read more about Mapigano yawakimbiza raia mashariki mwa DRC