Chelsea wapewa 51% kushinda UEFA Conference league
Tovuti ya takwimu za mpira wa Miguu Duniani (OPTA ANALYST) imetoa asilimia 51.1% taji la UEFA Conference League ndani ya dakika 90 dhidi ya Real Betis hapo kesho Jumatano Uwanja wa Tarczyński, nchini Poland majira ya Saa nne kamili usiku.