Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan alivyokutana na kufanya mazungumzo na Naibu Kiongozi Mkuu wa USAID Isobel Coleman
Tangu aingie madarakani Machi 2021 hadi Agosti 2024, Rais Samia Suluhu Hassan ameufungua uchumi wa Tanzania kwa dunia na kujenga mazingira bora ya biashara za kimataifa.