Bilioni 1.9 kujenga kituo cha Zimamoto Mtumba

Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mhandisi Hamad Masauni akisikiliza taarifa ya mradi

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama imetembelea na kukagua ujenzi wa jengo la kituo cha Jeshi la Zimamoto na Uokoaji lenye thamani ya Tsh. bilioni 1.9 katika Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS