![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/news/2023/09/25/Snapinsta.app_300286623_615345330170349_5320959633496256808_n_1080.jpg?itok=PZsKKcLJ×tamp=1695655544)
Norrie mwenye miaka 28 ambaye anakamata nafasi ya 17 kwa viwango vya ubora wa tenisi kwa upande wa Wanaume ameondoshwa kwa 7-6 (7-5) 7-6 (7-5) na Mrusi Aslan Karatsev anayeshikilia nafasi ya 63 kwa viwango vya ubora wa tenisi duniani
Mrusi Aslan Karatsev mwenye miaka 30 ambaye alimuondoa Muingereza Andy Murray katika hatua ya 16 bora ya michuano hiyo atacheza na Mjapan Yoshihito Nishioka kwenye hatua ya nusu fainali ya michuano leo Septemba 25-2023.