Shaina Iddy(10), mlemavu wa miguu
Mama wa mtoto huyo Fadhat Abdallah, amesema wamejaribu kwenda hospitali kumsaidia mtoto wao atembee lakini gharama ni kubwa familia imeshindwa kuipata hivyo ameomba kusaidiwa kiasi cha shilingi 1,210,000/=, kwa ajili ya viatu maalum vitakavyomsaidia kutembea.
Ukiguswa kumsaidia, tafadhali wasiliana na Mama wa mtoto kwa namba 0789 912 627 jina ni HAWA HASSAN