
Kamanda wa Jeshi a Polisi mkoa wa Manyara, RPC George Katabazi ametoa wito kwa wananchi kutambua mali hizo akisema lengo ni kuvunja mtandao wa wizi ambao umekuwa ukiwaathiri wananchi katika maeneo mbalimbali hapa nchini
Katika hatua nyingine kamanda katabazi amewakamata watu wengine tofauti wilayani Kiteto kwa tuhuma za kukutwa na mitambo ya kutengeneza pombe haramu ya moshi (gongo) madawa y kulevya aina ya bangi na mirungi na fedha bandia kiasi cha sh laki 9