
Kituo cha mafuta
Taarifa hiyo imetolewa leo Jumanne Agosti 2, 2022 na Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) na kusema petroli mkoani Mtwara itauzwa 3,393kwa lita na dizeli itauzwa 3,351 kwa lita.
Aidha bei ya petroli kwa Arusha ni 3,492 kwa lita na dizeli ni shilingi 3,406