
Miss Kenya Shamim Nabil akiwa na mumewe Fahim Mohammed
Mrembo huyu ameifanya harusi yake kuwa ni ya aina yake kwa kuisherekea kwa siku mbili mfulilizo, akianzia huko Zanzibar Tanzania kabla ya kwenda kumalizia uhondo nchini kwao Kenya.
eNewz inamtakia Shamim heri na furaha katika maisha yake haya mapya na mumewe huyu ambaye kazi yake ni Urubani.
