Makao Makuu ya Yanga
Taarifa hiyo iliyotolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Yanga, Dismas Ten, imesema kuwa Mwenyekiti wa klabu, Dkt. Mshindo Msolla amemteua Hassan Bumbuli kwa kushirikiana na Kamati ya Utendaji.
Aidha katika hatua nyingine, Dkt. Msolla pamoja na Kamati ya Utendaji wamemtangaza rasmi ndugu Antonio Nugaz kuwa Afisa Mhamasishaji wa klabu hiyo.
Soma taarifa rasmi ya klabu hapa chini.