Mtunzi mahiri wa filamu Tanzania Daniel Manege
Msisimko zaidi katika kazi hiyo unaletwa na wasanii walioteka soko kwa sasa Gabo Zigamba, Cheche wa siri ya Mtungi na Rachel kati ya wengine, inakuwa ni kazi ya aina yake ambayo itadhihirisha kukua kwa soko la filamu kwa mujibu wa mtunzi mahiri wa filamu Tanzania Daniel Manege.


