Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TFF viwanja saba vimekosa sifa

Jumapili , 17th Jul , 2022

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetaja viwanja saba ambavyo vimekosa sifa za kutumika kwa michezo ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/2023.

Uwanja wa Sokoine (Mbeya)

Katika tathimini iliyofanywa na TFF wamebaini uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, Ilulu Lindi, Usharika (Kilimanjaro), Mabatini (Pwani), Sokoine (Mbeya), Jamhuri (Dodoma) na Nyankumbu Girls (Geita).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na idara ya habari ya mawasiliano ya Bodi ya Ligi imethibitisha kuwa kwa mujibu wa kanuni za ligi na sheria namba moja kati ya 17 za mpira wa miguu viwanja hivyo vimekosa sifa katika baadhi ya maeneo.

Walitaja maeneo hayo kuwa ni eneo la kuchezea kutokuwa tambalale na kukosa nyasi za kutosha, ubovu katika uzio wa kutenganyisha mashabiki na eneo la kuchezea, jukwaa kuu kubosa ubora ikiwemo ubovu wa paa.

Pia vyumba vya kuvalia nguo waamuzi na wachezaji vimekosa sifa za ukubwa stahiki pamoja na feni au AC kwaajili ya upatikanaji wa hewa ya kutosha, upatikanaji wa majisafi na ya kutosha muda wote, upatikanaji umeme na uwepo wa vyoo safi na vya kisasa.

Ilisema kukosekana kwa chumba cha mawasiliano, kukosekana kwa chumba cha madaktari kwaajili ya huduma ya kwanza, kukosekana kwa chumba kwaajili ya maofisa wa mchezo, kukosekana kwa mabenchi ya ufundi bora na yenye uwezo wa kuruhusu watu wasiopungua 17 kukaa, kukosekana kwa majukwaa kwaajili ya watazamaji na uwepo wa mabango au picha za matangazo zisizotambulika na TFF au TPLB.

 

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita