Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yatinga Nusu Fainali

Jumamosi , 22nd Apr , 2017

Mabingwa watetezi wa Ligi kuu ya Soka Tanzania Bara Young Africans wamefuzu na kuingia Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Tanzania Bara baada ya kuichapa Tanzania Prisons FC bao 3-0 mchezo uliopigwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam

Kikosi cha timu ya Yanga

Katika mtifuano huo, timu ya Yanga iliweza kujitengenezea mazingira mazuri ya kupata ushindi kwa kutumia akili nyingi na juhudi, mwishowe wakafanikiwa kujiandikia bao la kwanza kupitia mshambuliaji wake Amisi Tambwe kwa kuunganisha pasi ya kichwa mnamo dakika ya 15.

Vile vile ilipofikia dakika 40 timu ya Yanga iliweza kuwainua tena mashabiki wake kwa kupata bao la pili lililofungwa na Mzambia Obrey Chirwa baada ya kuunganishiwa pasi mujarabu ya kichwa kutoka kwa Haji Mwinyi na mpaka kipindi cha kwanza timu ya Prisons haikuweza kuona nyavu za mpinzani wake japokuwa walionesha jitihada zote.

Kwenye dakika 46 za kipindi cha pili cha mchezo, timu ya Yanga iliweza kuongeza bao jingine la tatu baada ya kufyatuliwa mkwaju mkali kutoka kwa mshambuliaji Saimon Msuva na kuifanya timu hiyo kuwa mbele zaidi kwa mabao 3 dhidi ya wapinzani wao Wajelajela.

Kutokana na ushindi huo, timu ya Yanga imeweza kuungana na timu nyingine tatu ambazo zilikuwa tayari zimeshafuzu hatua ya Nusu Fainali ambazo ni Mbao FC, Simba SC pamoja na Azam FC.

Kwa upande mwingine, siku ya kesho Jumapili ndiyo itakuwa siku ya mchakato wa droo ya kupanga ratiba za Nusu Fainali ya kujua nani atapangwa na nani.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita