
Ummy Mwalimu, Waziri wa Afya

Alfred Lucas - Afisa habari TFF

Mkurugenzi Mkuu wa Twaweza, Aidan Eyakuze

Mufti wa Tanzania (Wa pili kulia) akipokea ripoti ya uchunguzi wa mali za BAKWATA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka katika viwanja vya Mahafali ya 31 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika chuoni Bingo kibaha Mkoani Pwani, katikati ni Mkuu wa chuo hicho Mizengo Peter Pinda na kushoto ni Waziri wa Elimu, Sayansi ,Tekinolojia na mafunzo ya ufundi Prof. Joyce Lazaro Ndalichako
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na wahitimu wakati alipokuwa Mgeni rasmi katika Mahafali ya 31 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika chuoni Bingo kibaha Mkoani Pwani aliyeketi kushoto ni Mkuu wa Chuo hicho Mizengo Peter Pinda Novemba 24,2016

Madaktari bingwa wakiendelea na upasuaji.