Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanyama amtabiria makubwa Samatta

Jumamosi , 24th Jun , 2017

Mchezaji wa Kimataifa wa kutoka Kenya anayechezea klabu ya Tottenham Hotspurs, ya ligi kuu ya soka nchini Englad, Victor Wanyama, amesema endapo Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta ataongeza bidii anaweza kwenda kuchezea Ligi Kuu ya Uingereza.

Mchezaji Victor Wanyama

Wanyama ameeleza hayo kupitia kipindi cha FNL kutoka EATV usiku wa kuamkia leo na kusema Samatta ameweza kufungua njia kwa wachezaji wa Tanzania na endapo ataendelea kufanya vizuri basi atakuwa amejiweka katika nafasi nzuri ya kuzidi kucheza mpira kimataifa zaidi.

"Samatta amefungua njia kwa hapa Tanzania kwa hiyo wachezaji wengine wakipata nafasi wasikate tamaa, msimu huu Samatta amefanya vizuri sana na kama ataendelea kufanya vizuri katika msimu ujao basi atakuwa na nafasi ya kucheza Ligi kuu ya Uingereza. Anachotakiwa kufanya ni kutia tu bidii zaidi" alisema Wanyama.

                                                            Mchezaji Mbwana Samatta

Pamoja na hayo, Wanyama amewataka wachezaji wa Tanzania na Afrika Mashariki kiujumla kuacha kukata tamaa mapema kwa kile wanachokihaingaikia katika masuala mazima ya mpira.

"Wachezaji wa huku tunakata tamaa mapema na kuridhika haraka, kama mchezaji ukitaka kufanikiwa unatakiwa ku-focus katika mpira tu, usichanganye na mambo mengine" alisisitiza Wanyama.

 

 

 

 

 

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke