Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wachezaji 6 Simba walioumia warejea kikosini

Jumanne , 12th Oct , 2021

Wachezaji sita wa kikosi cha kwanza cha Simba waliopata majeraha wiki mbili zilizopita wamepona na wameanza mazoezi ya pamoja ili wacheze dhidi ya Jwaneng Galaxy ya Botswana kuwania kufuzu makundi Klabu bingwa Afrika.

Wacheza wa Simba wakiwa kwenye mazoezi ya pamoja.

Wachezaji hao ni mlinzi wa kati Joash Onyango na kiungo Sadio Kanoute, Onyango aliumia kichwani wakati Kanoute aliumia mguu kwenye mchezo wa fainali ya Ngao ya Hisani ya Jamii dhidi ya Yanga Septemba 25, 2021.

Onyango yupo fiti kwani alijumuishwa kwenye kikosi cha timuya taifa ya Kenya kwenye michezo miwili ya kuwania kufuzu kombe la Dunia dhidi ya Mali na Rwanda wakati Kanoute alisalia nchini kufanya mazoezi na kambi ya Simba.

Mlinzi wa kulia aliyeumia kwenye mchezo dhidi yaBiashara United Mara Septemba 28, 2021, Shomari Kapombe na Erasto Nyoni aliyeumia mazoezi wawili hawa nao wamerejea kikosini na wamefanya mazoezi na wenzao.

Wachezaji wengine ambao wamerejea kwenye utimamu wao ni mlinzi wa kati Kennedy Juma na winga Pape Ousmane Sakho ambao walioumia wote kwenye mchezo wa Simba dhidi ya Dodoma Jiji Oktoba 1, 2021 na kushindwa kuendelea na mchezo huo.

Kennedy Juma aliyepigwa kiwiko na mchezaji wa Dodoma Jiji, Anuary Jabir, aliitwa kwenye mchezo wa Taifa Stars dhidi ya Benin  Oktoba 10, 2021 na kuonesha kiwango safi huku Sakho alisalia na kambi ya Simba tokea wiki iliyopita.

Kurejea kwa wachezaji hao pamoja na mshambuliaji wa Kibu Denis kupata vibali vya kuchezea Simba akiwa raia wa Tanzania, vitawafanya wekundu hao wa msimbazi wawe na machaguo mengi kuwavaa Galaxy Jumapili ya Oktoba 17, 2021 kuwania kufuzu hatua ya makundi michuano ya klabu bingwa Afrika

 

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita