Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

VPL raundi ya 4 - Coastal Vs JKT Tanzania

Jumatatu , 28th Sep , 2020

Raundi ya nne ya Ligi kuu Tanzania bara kukamilika leo kwa mchezo mmoja utakao chezwaJijini Tanga katika dimba la Mkwakwani.

Coastal Union haijashinda mchezo hata mmoja na haijafunga goli katika michezo mitatu ya Ligi kuu iliyocheza mpaka sasa

Coastal Union ya Tanga wanawaarika JKT Tanzania ya Dodoma katika mchezo utakao chezwa majaira ya saa 10 jioni.

Coastal chini ya kocha Juma Mgunda haijashinda mchezo hata mmoja katika michezo mitatu iliyocheza mpaka sasa wamefungwa michezo miwili na wamesare mchezo mmoja na kikosi hicho hakijafunga bao hata moja huku wakiwa wameruhusu mabao matatu.

Mchezo wa jioni ya leo ni wa pili wanacheza katika uwanja wao wa nyumbani wa Mkwakwani, mchezo uliopita katika Dimba hilo walitoka sare ya bila kufungana na Dodoma Jiji FC, Coastal wapo nafasi ya 16 kwenye msimamo wa ligi wakiwa na alama moja.

JKT Tanzania wanacheza mchezo wa tatu ugenini msimu huu tukiwa katika michezo ya raundi ya nne, kwenye michezo miwili iliyopita wakiwa ugenini wamefanikiwa kuondoka na jumla ya alama 4, wakiwa ugenini waliifunga Kagera Sugar bao bao 1-0 kwenye mchezo wa raundi ya kwanza, na waliodoka na alama moja kwenye mchezo ulipipita dhidi ya Polisi Tanzania baada ya mchezo kumalizika kwa sare ya bao 1-1.

Kikosi JKT chini ya kocha Abdallah Mohamed “Bares” kimeshinda mchezo mmoja wamesare mchezo mmoja na wamepoteza mchezo mmoja wapo nafasi ya 12 wakiwa na alama zao 4.

Msimu uliopita JKT Tanzania walifanikiwa kuondoka na alama 4 mbele ya Coastal Union kwa kuifunga mchezo mmoja na mchezo mmoja walitoka sare, na ushindi huo JKT waliupata katika Dimba la Mkwakwani ambako mchezo wa jioni ya leo utachezwa.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa