Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

UEFA Champions League kuendelea wiki hii

Jumanne , 24th Nov , 2020

Muendelezo wa michezo ya Kundi B itawakutanisha Inter Millan vs Real Madrid. Miamba miwili ya soka ambao bado wanatafuta pointi ili wafuzu hatua ya 16 bora.

UEFA Champions League, Inter Milan Vs Real Madrid

Kundi B ni kati ya makundi yaliyotoa matokeo ya kustaajabisha. Inter na Madrid wanashika nafasi ya 3 (Madrid) na 4 (Inter). Ni kundi ambalo linaongozwa na Shakhtar Donetsk na Borussia Monchengladbach, timu ambazo wengi hawakuwa wamezipa nafasi katika kundi hili.

Mchezo wa kwanza uliopigwa katika dimba la Estadio Alfredo Di Stefano, Madrid aliibuka kidedea kwa ushindi wa 3-2 dhidi ya Inter. Ni mchezo uliotoa magoli mengi zaidi miongoni mwa michezo ya Kundi B kwenye Ligi ya Mabingwa.

Inter Millan wanahaha zaidi kutokana na uhalisia kwamba hawajapata ushindi wowote katika mechi 3 za mwanzo kwenye hatua ya makundi. Madrid nao bado hawajaipata nafasi ya kufuzu hatua ya mtoano na hivyo mchezo dhidi ya Inter Millan ni wa muhimu kwa timu zote mbili kwenye Ligi ya Mabingwa.

Uhalisia ni kwamba, Inter wanahitaji ushindi na kuongeza pointi ili kujinusuru kutoondolewa kwenye Mashindano ya Ligi ya Mabingwa kwa misimu miwili mfululizo. Madrid haijawahi kuifunga Inter wakiwa ugenini.

Japokuwa, Zinedine Zidane amekuwa mwamba anapokutana na timu za Italia, ameshinda mechi 7 kati ya 8 alizocheza na timu za Italia. Nani atamzidi mwenzake kete, ni Zidane akiwa na Madrid au ni Conte akiwa na Inter?

Kwa upande wa wataalamu wa Meridianbet, odds za mchezo huu zimechangamka!! Ushindi kwa Inter unaodds ya 2.20, Madrid anathaminiwa kwa odds ya 3.04 wakati matokeo ya sare yanaodds ya 3.43. Wataalamu wa Meridian wamekuwekea ofa ya machaguo zaidi ya 1,200 ambayo unaweza kuyaangalia hapa.

Kuwa sehemu ya mchezo huu na ubashiri vile unavyopenda! Kwa odds nzuri, ofa kabambe za michezo na mambo kemkem, Meridian inakusaidia kuwa mshindi!

Jisajili na Meridiabet hapa http://www.meridianbet.co.tz na furaha yako itaanzia hapo. Pakua App ya Meridianbet kwenye simu yako na uanzekubashiri kwa uhuru nyumbani kwako. Pia unaweza kuweka pesa kwenye akaunti yako kupitia KwikPay, M-PESA au Airtel Money. Kumbuka, daima hauwezi kupoteza tiketi yako ya kwanza ukiwa na Meridianbet, tuna Bonasi ya 100% inakusubiri.

Meridian - Nyumba yenye odds bora na bonasi kubwa!

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita