
"Leo tunatamatisha shauku iliyokuwepo kwa siku kadhaa, Haikuwa jambo rahisi maana lengo letu kama klabu tulitaka mwalimu ambaye atatupeleka mbali. Kumpata mwalimu mzuri ni mchakato mkubwa sana."- Amesema CEO wa klabu ya Simba, Imani Kajula

"Leo tunatamatisha shauku iliyokuwepo kwa siku kadhaa, Haikuwa jambo rahisi maana lengo letu kama klabu tulitaka mwalimu ambaye atatupeleka mbali. Kumpata mwalimu mzuri ni mchakato mkubwa sana."- Amesema CEO wa klabu ya Simba, Imani Kajula