
Courtois
Mlinda mlango huyo wa Ubelgiji yupo kwenye kiwango cha hali ya juu kwenye msimu huu, na hakuruhusu bao kwenye michezo 13, akiwa langoni.
Courtois aliyesajiliwa na Chelsea akitokea klabu ya Genk anayocheza Mtanzania Mbwana Samatta mwaka 2011, amesema wakati mwingine huwa anapata wakati mgumu langoni, lakini kwa sasa ameimarika sana.