Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba wamuaga 'Kilomoni' kwa goli 1

Jumatatu , 14th Aug , 2017

Mwenyekiti wa baraza la Wadhamini Simba 'Mzee Kilomoni' amesimamishwa uanachama na Klabu hiyo ikiwa ni baada ya kudaiwa kuvunja katiba ya Simba  kwa kupeleka mambo ya soka Mahakamani ilhali kuna chombo maalum cha kusuluhisha matatizo klabuni hapo.

Mchezaji Emmanuel Okwi

Katika mkutano uliyofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa Julius Nyerere, Kamati ya Utendaji ya Klabu hiyo ilimsimamisha uanachama Mzee Kilomoni huku hukumu ikiwa imependekezwa na Kaimu Rais Simba, Salim Abdallah 'Try Again' katika mkutano huo mbele ya waachama 927 waliyohudhuria, kuwa Kilomoni aondolewe katika Baraza la Wadhamini la Simba kwa kitendo cha kufungua kesi Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wiki iliyopita.

Hata hivyo baada ya Klabu hiyo kumaliza tukio hilo ilielekea uwanjani ambapo timu ya Simba iliibuka kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar, mchezo uliyopigwa siku ya Jumapili (Jana) kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Balo la Simba lilifungwa na Emmanuel Okwi katika dakika ya 44 kipindi cha kwanza ikiwa ni masaa machache tangu klabu hiyo itoke kwenye mkutano mkuu.

Matokeo hayo ni mwendelezo wa matokeo mazuri iliyopata klabu hiyo ikiwa siku chache tangu ilipoifunga Rayon ya Rwanda bao 1-0 katika mchezo wa Simba Day.

 

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita