Taarifa ya Klabu hiyo imeeleza kuwa mapumziko hayo ni kwa ajili ya kumpa nafasi mchezaji huyo kushughulikia mambo yake binafsi
Simba imemshukuru nyota huyo kwa mchango wake katika Klabu hiyo na mafanikio aliyoyaleta ikiwemo kushiriki robo fainali ya michuano ya Shirikisho barani Afrika