Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serengeti Girls wakabidhiwa Bima za Afya

Jumatano , 21st Sep , 2022

Waziri wa Utamaduni,Sanaa na Michezo Mohamed Mchengerwa amewaongoza Wadau mbalimbali wa michezo katika hafla ya kuwaaga na kuwakabidhi bima za Afya kikosi cha Serengeti Girls kinachokwenda kushiriki fainali za kombe la dunia kwa wasichana chini ya umri wa miaka 17 nchini India mwezi Ujao

Waziri wa Utamaduni,Sanaa na Michezo Mohamed Mchengerwa

Waziri Mchengerwa amewataka wachezaji hao kuweka bidii na kufata maelekezo ya walimu huku akiwa na imani kubwa na kikosi hicho kufanya vizuri kwenye mashindano hayo pamoja na kurejea na kombe hapa nchini

''Tunawaamini sana  hakika mtakwenda kupambana na kuhakikisha mnafanya vyema katika kuitangaza nchi yetu katika mashindano hayo ni makubwa '' amesema Waziri Mchengerwa

Katika hatua nyingine Waziri Mchengerwa amemtambulisha rasmi Kaimu Mkurugenzi wa Michezo Ally Mayai Tembele huku akitoa wito kwa wadau wa michezo kumpa ushirikiano ili kuendeleza sekta ya michezo hapa nchini

Fainali za kombe la dunia kwa wasichana chini ya umri wa miaka 17 zinataraji kuanza Oktoba 11 mpaka oktoba 30,2022 huku Serengeti Girls ikipangwa kundi D pamoja na timu za Japan,Canada na Ufaransa

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita