Mechi hiyo imepigwa jijini Antananarivo na Serengeti wameonesha soka safi ingawa timu ya wenyeji ilionekana iko imara zaidi.
Serengeti Boys imeweka kambi nchini humo kujiandaa na mechi yake ya kwanza dhidi ya Afrika Kusini na Agosti 3 itaondoka nchini humo kwenda Johannesburg kwa ajili ya mechi hiyo.





.jpg?itok=5cvL0YaP)