Serena Williams
Serena, ambaye amechumbiwa hivi karibuni, alikuwa nje ya uwanja kwa miezi miwili ya mwisho ya msimu wa 2016 kutokana na jeraha la bega na hajacheza mechi yoyote tangu Mashindano ya US Open katika mwezi wa Septemba mwaka jana lakini ameshinda mechi yake ya kwanza ya mwaka 2017 kwa seti za 6-3, 6-4.
Akiongea baada ya mechi hiyo, nyota huyo mwenye umri wa miaka 35, amemsifu mpinzani wake kwa kuonesha ushindani na mchezo mzuri





