Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rekodi zambeba Jokic,MVP - NBA

Alhamisi , 12th Mei , 2022

Alama 875 alizozipata nyota wa Denver Nuggets, Nikola Jokic zimemfanya kutangazwa kwa mara ya pili mfululizo kuwa mchezaji bora wa msimu wa NBA yaani MVP akiwapiku nyota wawili kutoka Philadelphia 76ers Joel Embiid na Giannis Antetokounmpo wa Milwaukee Bucks.

(Mchezaji wa Denver Nuggets Nikola Jokic)

Mserbia huyo mwenye miaka 27,anakuwa mchezaji wa kwanza katika historia ya NBA kufunga alama 2000,kuchukua rebounds 1000 na kutoa pasi za usaidizi wa mabao yaani (assist ) mara 500 kwa msimu huku akiweka rekodi ya kuwa na wastani wa kufunga alama 25,kuchukua rebound 13 na kutoa pasi za usaidizi wa mabao mara 6 kwa kila mchezo .

"sijui kitu gani unaweza kumzungumzia Nikola kwa wakati huu,kila siku amekuwa na muendelezo na amekuwa akiwaonesha wale wanaompinga jinsi gani mchezaji mzuri anatakiwa kuwa kwa kuonesha kiwango kizuri kwa kila mchezo anapocheza kila siku”amesema kocha mkuu wa Nuggets Michael Malone.

Kwenye michezo ya NBA Playoff,mabingwa watetezi wa NBA Milwaukee Bucks wameifunga Boston Celtics kwa alama 110 dhdi ya 107 na sasa kuongoza kwa michezo 3-2 kutoka kanda ya Mashariki huku upande wa kanda ya Magharibi,Memphis Grizzlies wamewalaza Golden State Warriors kwa alama 134 dhidi ya alama 95 na  sasa kusalia matokeo kuwa 3-2.

 

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita