Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rangnick ataja sababu za kumfanyia 'SUB' Ronaldo

Alhamisi , 20th Jan , 2022

Kocha wa Manchester United Ralf Rangnick amemtetea Cristiano Ronaldo kwa kuonyesha hasira waziwazi baada ya kutolewa dakika ya 71 kwenye mchezo wa Ligi dhidi ya Brenford ambao timu hiyo imeshinda mabao 3-1. Amesema ni kawaida kwa mchezaji kufanya hivyo kama hajafunga goli.

Cristiano Ronaldo kushoto akitoka kwenye mchezo dhidi Brenford, kulia ni kocha Ralf Rangnick

Rangnick amesema sababu ya kufanya mabadiliko ya kumtoa Ronaldo na kumingiza beki Harry Maguire, mabadiliko hayo yalikuwa mahususi kwa ajili ya kuboresha safu ya ulinzi baada ya kuwa wanaongoza kwa mabao 2-0.

“Ni kawaida kwa mshambuliaji, alitaka kufunga goli. Ametoka kwenye majeraha madogo na ilikuwa muhimu kwangu kumbuka tunamchezo mwingine siku 3 zijazo. Kwa upande mwingine tulikuwa tunaongoza goli 2-0. Ni matokeo sawa na mchezo uliopita dhidi ya Aston Villa na nikaamua tulinde uongozi huo wa mabao 2-0 na ninaamini yalikuwa maamuzi sahihi.” Amesema Rangnick

Mchezo uliopita wa Ligi dhidi ya Aston Villa Manchester United waliongoza kwa mabao 2-0, mpaka dakika ya 67 kabla ya Villa kusawazisha na mchezo huo kumalizika kwa sare ya mabao 2-2.

Mabao ya The Red Devils kwenye ushindi huo yamefungwa na Anthony Elanga dakika ya 55, Mason Greenwood dakika 62 na Marcus Rashford dakika ya 77 wakati bao la Brentford limefungwa na Ivan Tony dakika ya 85. Huu pia ulikuwa ni ushindi wa 300 kwa Manchester United katika viwanja vya Ugenini kwenye EPL ikiwa ndio timu iliyoshinda michezo mingi ugenini.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita