Baadhi ya wachezaji walioshinda tuzo za msimu uliopita. Kutoka kushoto ni Ibrahim Ajibu (Goli Bora), Aishi Manula (KIpa Bora), Juma Abdul (Mchezaji Bora), Thaaban Kamusoko (Mchezaji Bora wa nje) na Mohamed Hussein (Mchezaji Bora Chipukizi)

22 Mei . 2017

Magari yakiingia kwa mara ya kwanza kwenye kivuko kipya cha MV KAZI tayari kuvuka kuelekea upande wa Kigamboni. Kivuko hicho kilikua kikifanyiwa majaribio baada ya ujenzi wake kukamilika.

22 Mei . 2017

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba

21 Mei . 2017

Saimon Msuva (Kushoto) na Thaban Kamusoko.

21 Mei . 2017